NAIJUTIA NDOA YANGU...SEHEMU YA KWANZA

Ilikuwa kama ndoto kuolewa na mtoto wa waziri mkuu. Benson Mkama. Siku ya harusi ilikuwa ni balaa. Nilikuwa na furaha isiyo kifani. Nilijua kuwa umaskini sasa basi. Padri akasema
"Benson Mkama, unamkubali Jackline Stephano kuwa mke wako, katika shida na raha; katika hali zote mpaka kifo kitakapowatenganisha?"





